📘 ❞ TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU ❝ كتاب اصدار 2011

كتب إسلامية باللغة السواحلية - 📖 ❞ كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU ❝ 📖

█ _ 2011 حصريا كتاب TAFSIRI YA SHEMU KUMI MWISHO QUR rsquo ANI TUKUFU 2024 TUKUFU: Kikundi cha wanafunzi wa chuo Qur'ani ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na ubora wake, ukilinganisha maneno mengine, kama Mungu juu viumbe wake Kuisoma jambo bora sana ambalo ulimi ume litamka MIONGONI MWA FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR'NI NA KUIFUNDISHA NI: MALIPO KUIFUNDISHA Mtume, ( Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi sallam ) amfikishie rehema amani, amesema kuwa: "Mbora wenu zaidi yule aliyejifunza akaifundisha" Bukhari YAKUISOMA amfikishie rehema "Mwenye kusoma herufi katika kitabu Mwenyezi atapata zuri (moja) kwa hiyo (moja aliyoisoma), (moja) mazuri kumi mfano wake " Tirmidhiy FADHILA QUR’ANI, KUIHIFADHI KUISOMA KWA UHODARI Amesema kwamba: "Mfano ambaye anaisoma ilhali mwenye kuihifadhi, atakuwa pamoja Malaika, Watukufu, Wema Na mfano ilhali yeye anaipatiliza huku ikiwa ngumu kwake, basi malipo mawili" Bukhari,  Muslim Na " Ataambiwa msomaji Soma panda (daraja) soma ulivyokuwa ukisoma duniani, kwani daraja yako pale mwisho aya utakayoisoma" MTU AMBAYE MTOTO WAKE AMEJIFUNZA QUR’ANI Mtume, amesema kuwa: "Yeyote aliyesoma akajifunza akaitekeleza, wazazi watavalishwa taji la nuru Siku Kiyama Mwangaza mwangaza jua watavalishwa suti mbili, sababu hiyo, watauliza: Ni gani tumevishwa haya? Watajibiwa: sababu mtoto kujifinza Qur'ani" Al haakim QUR'ANI KUMUOMBEA MSOMAJI HUKO AKHERA "Someni Qur'ani, itakuja Qiyama muombezi wasomaji wake" Muslim Aidha amesema kuwa: "Saumu zitamuombea mja Kiyama" Ahmad, Al haakim KUJUMUIKA KWA AJILI KUSOMA QUR'ANI KUIDURUSU amani, "Hawakukusanyika watu nyumba miongoni mwa nyumba za Mtukufu wakikisoma chake kukidurusu QUR’ANI 3   baina yao isipokuwa tu unawashukia utulivu inawaenea rehma Malaika huwazunguka huwataja walioko kwake " Abudaud BAADHI KANUNI USOMAJI: TARATIBU USOMAJI Ibn kathiir ametaja taratibu nyingi Miongoni mwake hizi: Mtu kutoshika kutoisoma anapokuwa twahara, kupiga mswaki kabla kuisoma mtu kuvaa nguo zake nzuri sana, kuelekea Qibla, kusitisha anapokwenda myayo, kutokatisha kusoma kuzungumza dharura, kuw a makini, ahadi (za rehma) ili a ombe (rehma) makamio (ya adhabu) msomaj i aombe kinga, kutouweka msahafu ukiwa umetandazwa chini kutoweka kitu chochote yake, baadhi wasomaji kutosoma sauti mbele ya wengine (ili wasiwe kero) masokoni sehemu zogo  NAMNA KUSOMA * QUR’ANI كتب إسلامية باللغة السواحلية مجاناً PDF اونلاين مكتبة : تشمل جميع الكتب الاسلامية التى تخص اللغه وتشمل : Vitabu Masahaba Vitabu Maajabu Sayansi Kurani Quran Ahl al Sunnat Jama'aa Hadith Zaidi Siras Utabiri Nabii Vitabu vya Shia Imani Matempo Kiisilamu Historia Kiislamu Jihad Fiqh Uislamu: Kuna dini kiisraeli, Kiungu isiyo kulingana Uislamu kuna mmoja Allah Muhammad ndiye Mjumbe pili kubwa ulimwenguni Nguzo Uislamu: Nguzo tano Uisilamu ibada kuu jamii Wasunni, iliyoshirikiwa Waislamu Shiite, ingawa misingi kuanzisha Sunni ifuatavyo Mawazo imani Kiislamu: Kulingana Kurani, wanamuamini zake, vitabu vyake, Mitume Mwisho Kwa kuongezea, wanaimarisha haki hatima, vile nabii hadith aliiambia wakati alisema ni: "Mwamini amini malaika siku inayofuata uamini wema uovu Kufanya hivyo " pia Imamat mali dini الإسلام : يعد أساس الاسلام هو الإيمان بالإله الواحد وهو الله أنه دائم حي لا يموت ولا يغفل عدل يظلم شريك له ند والد ولد رحمن رحيم يغفر الذنوب ويقبل التوبة يفرق بين البشر إلا بأعمالهم الصالحة خالق الكون ومطلع كل شيء فيه ومتحكم به وفي المعتقد الإسلامي؛ ليس كمثله أي مغاير تمامًا لكل مخلوقاته وبعيد عن تخيلات لهذا فلا يوجد صورة أو مجسم إنما يؤمن المسلمون بوجوده ويعبدونه دون أن يروه كما الإسلام واحد أحد يرفض عقيدة الثالوث المسيحي بوجود ثلاثة أقانيم فضلاً رفض ألوهية المسيح الذي بشر رسول العقيدة الإسلامية ومن أهم السور التي يستدل المسلمين بها ذلك سورة الإخلاص: قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ الصَّمَدُ لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ يَكُنْ لَهُ كُفُوًا يقول بعض الباحثين كلمة "الله" العربية المستخدمة إسلاميًا للدلالة ذات الرب هي مكونة من قسمين: "الـ" و"إله" بينما أخرون جذورها آرامية ترجع لكلمة "آلوها" ولله عدة أسماء وردت القرآن وهناك تسعة وتسعين اسمًا اشتهرت عند السنة باسم "أسماء الحسنى" وهي مدح وحمد وثناء وتمجيد لله لسان الرسل وفق السني ومنها: الملك القدّوس السلام المؤمن المهيمن العزيز الجبّار القابض الباسط الوكيل الأول الرؤوف ذو الجلال والإكرام وغيرها والحقيقة هناك خلاف حول عدد الأسماء الحسنى علماء وخلاف ذاتها البعض رجح عددها وفقًا لحديث أورده البخاري الرسول محمد قال: "إن مئةً واحدًا أحصاها دخل الجنة

إنضم الآن وتصفح بدون إعلانات
TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU
كتاب

TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU

صدر 2011م
TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU
كتاب

TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU

صدر 2011م
عن كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU:
Kikundi cha wanafunzi wa chuo


Qur'ani ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na ubora wake, ukilinganisha na
maneno mengine, ni kama ubora wa Mwenyezi Mungu juu ya viumbe wake.
Kuisoma Qur'ani ni jambo bora sana ambalo ulimi ume
litamka.
MIONGONI MWA FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR'NI NA
KUIFUNDISHA NI:
MALIPO YA KUIFUNDISHA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Mbora wenu zaidi ni yule
aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".
Bukhari.
MALIPO YAKUISOMA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, amesema kuwa:
"Mwenye kusoma herufi katika kitabu cha
Mwenyezi Mungu atapata zuri (moja) kwa herufi hiyo
(moja aliyoisoma), na zuri
(moja) ni kwa mazuri kumi mfano wake
"
.
Tirmidhiy
.
FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR’ANI, KUIHIFADHI NA KUISOMA
KWA UHODARI
Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, kwamba:
"Mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na
ilhali ni mwenye kuihifadhi, atakuwa pamoja na Malaika, Watukufu, Wema. Na
mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na ilhali yeye anaipatiliza na huku ikiwa
ngumu kwake, basi atapata malipo mawili"
.
Bukhari,

Muslim
.
Na Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, kuwa:
"
Ataambiwa msomaji wa Qur'ani kwamba: Soma na
panda (daraja) na soma kama ulivyokuwa ukisoma duniani, kwani daraja yako ni
pale mwisho wa aya utakayoisoma".
Tirmidhiy
.
MALIPO YA MTU AMBAYE MTOTO WAKE AMEJIFUNZA QUR’ANI
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema
kuwa:
"Yeyote aliyesoma Qur'ani na akajifunza na akaitekeleza, wazazi wake
watavalishwa taji la nuru Siku ya Kiyama. Mwangaza wake ni mfano wa
mwangaza wa jua. Na wazazi wake watavalishwa suti mbili, na kwa sababu hiyo,
watauliza: Ni kwa sababu ya jambo gani tumevishwa haya? Watajibiwa: Ni kwa
sababu ya mtoto wenu kujifinza Qur'ani"
.
Al-haakim
.
QUR'ANI KUMUOMBEA MSOMAJI WAKE HUKO AKHERA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Someni Qur'ani, kwani itakuja Siku ya Qiyama ikiwa ni muombezi wa wasomaji
wake"
.
Muslim
.
Aidha Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani,
amesema kuwa:
"Saumu na Qur'ani zitamuombea mja Siku ya Kiyama".
Ahmad, Al-
haakim
.
MALIPO YA KUJUMUIKA KWA AJILI YA KUSOMA QUR'ANI NA
KUIDURUSU
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na
amani, amesema kuwa:
"Hawakukusanyika watu katika nyumba miongoni mwa
nyumba za Mwenyezi Mungu Mtukufu wakikisoma kitabu chake na kukidurusu
FADHILA ZA
QUR’ANI
3


baina yao isipokuwa tu unawashukia utulivu na inawaenea rehma na Malaika
huwazunguka na Mwenyezi Mungu huwataja pamoja na viumbe walioko kwake
"
.
Abudaud
BAADHI YA KANUNI ZA USOMAJI:
TARATIBU ZA USOMAJI
Ibn-kathiir ametaja taratibu nyingi. Miongoni
mwake ni hizi: Mtu kutoshika Qur'ani na kutoisoma isipokuwa tu anapokuwa
twahara, kupiga mswaki kabla ya kuisoma Qur'ani, mtu kuvaa nguo zake nzuri
sana, kuelekea Qibla, kusitisha kusoma mtu anapokwenda myayo, kutokatisha
kusoma kwa kuzungumza isipokuwa tu kwa dharura, kuw
a makini, kusitisha
kusoma katika aya za ahadi (za rehma) ili msomaji a
ombe (rehma) na kusitisha
kusoma katika aya za makamio (ya adhabu) ili msomaj
i aombe kinga, kutouweka
msahafu ukiwa umetandazwa chini na kutoweka kitu chochote juu yake, baadhi ya
wasomaji kutosoma kwa sauti ya juu mbele ya baadhi
ya wasomaji wengine (ili
wasiwe kero) katika kusoma na kutosoma masokoni na katika sehemu za zogo.

NAMNA YA KUSOMA
*




TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR’ANI TUKUFU
الترتيب:

#2K

0 مشاهدة هذا اليوم

#47K

8 مشاهدة هذا الشهر

#44K

6K إجمالي المشاهدات
عدد الصفحات: 236.
المتجر أماكن الشراء
مناقشات ومراجعات
QR Code
أماكن الشراء: عفواً ، لا يوجد روابط مُسجّلة حاليا لشراء الكتاب من المتاجر الإلكترونية
نتيجة البحث